No Image Available

UONGOZI NA UTAWALA WA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE

 Author: PIUS MSEKWA  Category: Books (Others), Books about Julius Nyerere, Books at the Centre  Publisher: Nyambari Nyangwine Publishers  Published: July 27, 2024
 Description:

Nilipata bahati ya kumfahamu baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ,kutokana na kufanya naye kazi kwa karibu sana takribani kwa kipindi chote cha uongezi wake. Nilipoanza kazi katika ofisi ya Bunge, Dar es Salam nilimkuta Mwalimu Nyerere akiw ni mbunge wa Kuchabuliwa wa Jimbo la Mashariki.

 Back